Kutokana
hali inayoendelea kwenye nchi za Afrika mashariki ya kushuka kwa uchumi na
kuendelea kuporomoka kwa thamani ya sarafu zake,umoja wa Benki za Afrika mashariki unaoundwa na nchi
6 zimefikia lengo la kuanzisha sarafu yake ya kidigitali itakayotumika kati ya
nchi hizo 6, japokuwa hali ya ongezeko la watumiaji wa sarafu digitali nyingine
kama Bitcoin kuendelea kukua kwa kasi, hii imeonekana kuwa changamoto kubwa na
kizuizi cha nchi hizi kuanzisha sarafu yake (EAC currency),
Showing posts with label Currency. Show all posts
Showing posts with label Currency. Show all posts
Subscribe to:
Posts (Atom)