Pages - Menu

Showing posts with label Currency. Show all posts
Showing posts with label Currency. Show all posts

Monday, January 15, 2018

HATIMAE UMOJA WA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI YAADHIMIA KUSHIRIKIANA KUTAFUTA NJIA SAHIHI YA KUENDANA NA TEKNOLOJIA YA SARAFU DIGITALI NDANI YA MWAKA 2018.


Kutokana hali inayoendelea kwenye nchi za Afrika mashariki ya kushuka kwa uchumi na kuendelea kuporomoka kwa thamani ya sarafu zake,umoja  wa Benki za Afrika mashariki unaoundwa na nchi 6 zimefikia lengo la kuanzisha sarafu yake ya kidigitali itakayotumika kati ya nchi hizo 6, japokuwa hali ya ongezeko la watumiaji wa sarafu digitali nyingine kama Bitcoin kuendelea kukua kwa kasi, hii imeonekana kuwa changamoto kubwa na kizuizi cha nchi hizi kuanzisha sarafu yake (EAC currency),